Nafasi za Kazi Wizara ya Fedha na Wilaya ya Kaliua

Maelezo

Chanzo: Utumishi Tanzania



Tarehe Iliyotolewa: 2021-05-21


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Tanzania
Imetembelewa mara! 28146 ... Deadline: 2021-05-24 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Kumb. Na EA.7/96/01/L/101 10 Mei, 2021 

 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mbili (02) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

 

PLEASE DOWNLOAD PDF FILE HERE FOR MORE INFORMATION

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English