Nafasi za Kazi Wizara ya Maliasili na Utalii (nafasi 113)
Maelezo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb.Na EA.7/96/01/J/67 28 Agosti, 2019
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Halmashauri ya Wilaya Busega , Halmashauri ya Wilaya Bariadi anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 115 kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.
PLEASE DOWNLOAD PDF FILE HERE FOR MORE INFORMATION