Nafasi za Kazi Wizara ya Maliasili na Utalii (nafasi 113)

Maelezo

Chanzo: Utumishi Tanzania



Tarehe Iliyotolewa: 2019-08-29


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Bariadi, Busega Tanzania
Imetembelewa mara! 21552 ... Deadline: 2019-09-10 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
OFISI YA RAIS 
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 
Kumb.Na EA.7/96/01/J/67 28 Agosti, 2019 


TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Halmashauri ya Wilaya Busega , Halmashauri ya Wilaya Bariadi anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 115 kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

 

PLEASE DOWNLOAD  PDF FILE HERE FOR MORE INFORMATION

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English