Nafasi za Masomo Indonesia

Maelezo

Chanzo: MOEZ



Tarehe Iliyotolewa: 2019-03-25



Kituo cha Kazi/Tukio: Indonesia
Imetembelewa mara! 7948 ... Deadline: 2019-04-12 15:30:00

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar inatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya muda mrefu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (Masters) kwa mwaka wa masomo 2019/2020

 

Kwa kufanya maombi, ingia katika tovuti:

 

KNB Scholarship 2019 – Indonesian Government Scholarship For Masters

 

 

Maombi yatumwe si zaidi ya tarehe 12, Aprili 2019. 

Nakala ya fomu za maombi ziwasilishwe Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mazizini Zanzibar, katika Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia chumba namba 57.



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English