Nafasi za kazi 195 Mahakama

Maelezo

Chanzo: Mahakama Tanzania



Tarehe Iliyotolewa: 2020-05-07


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Tanzania
Imetembelewa mara! 51976 ... Deadline: 2020-05-21 15:30:00

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 195 

Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya ya 112(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Aidha, Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4/2011 inaipa Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na majukumu yake mengine, mamlaka ya kuajiri watumishi wa Mahakama wa kada mbalimbali. 

 

Hivyo, Tume ya Utumishi wa Mahakama inawatangazia Watanzania wenye sifa zilizoainishwa hapa chini kwa kila nafasi ya kazi na ambao wako tayari kufanya kazi katika Mahakama ya Tanzania kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali kuleta maombi yao ya kazi. Nafasi hizo ni Hakimu Mkazi Daraja la II – (TJS 2) nafasi 114, Afisa Utumishi Daraja la II nafasi 3 (TGS D) Katibu Mahsusi Daraja la III – (TGS B) nafasi 6, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II – (TGS B) nafasi 27, Mlinzi (TGOS A) nafasi 27, Msaidizi wa Hesabu (TGS B) nafasi 1 na Msaidizi wa Ofisi (TGOS A) nafasi 17.

 

TAFADHALI PAKUA PDF FILE KWA MAELEZO ZAIDI

 

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English