WIto usaili Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na Idara maalum
Maelezo
Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe Iliyotolewa: 2018-04-11
![](../../../announcements/images/znzlogo.png)
ume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi ya Muhandisi Ujenzi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwenda kuangalia majina yao katika Ofisi ya Tume ya Utumishi Serikalini kuanzia siku ya Alkhamis ya tarehe 12 Aprili, 2018.
Kwa wale ambao watabahatika kuona majina yao wanaombwa kufika Ofisi ya Tume ya Utumishi Serikalini kwa ajili ya kufanyiwa usaili siku ya Jumanne ya tarehe 17 Aprili, 2018 saa 2:00 za asubuhi.
Wasailiwa wote wanatakiwa wachukue vyeti vyao halisi vya kumalizia masomo, Cheti cha kuzaliwa pamoja na kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi.
Vijana Wenyewe ni hawa wafuatao:
NO JINA KAMILI JINSIA
1 ABDALLA OMAR KHAMIS M
2 ABSHIR KHAMIS MBAROUK M
3 ABUBAKAR MOHD BAKAR M
4 ALI MOHAMED KHAMIS M
5 BAKAR MUHSIN BAKAR M
6 HALIMA ABDALA ABASSI F
7 OMAR MBAROUK OMAR M
8 SAADA MUSSA SAID F
9 SAID ABDALLA SAID M
10 SALIM KASSIM JUMA M
11 SALUM MASOUD ATTAI M
12 SHARIFA SULEIMSN OTHNMAN F
13 SWAHIM ABDULLA ABDULLA M
![](../../../../announcements/images/whattsappicon.png)
Zinazofanana
- Mambo Ambayo Yanaweza Kukupotezea Muda ikiwa utayafanya.
- Ajali ya MV Spice Islander
- Ifahamu Museum for the Future Dubai
- Matokeo ya Kidato cha Nne (Form Four) 2022/2023
- The Motivation Myth
- TABIA 12 ZA MATAJIRI/MAMILIONEA
- General studies Notes
- Mambo saba ya kujifunza katika kitabu cha The Richest Man in the Babylon
- History Form One Notes
- Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023
- KARIBU USAFIRI NASI KWA SAFARI YA HIJA
- MAMBO SABA WANAYOYAFANYA MASKINI, AMBAYO MATAJIRI HAWAYAFANYI
- NAMNA NZURI YA KUWEZA KUHIFADHI PESA
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
Bidhaa Nyenginezo
Tembelea pia
![](images/45.jpg)