Nafasi za Kazi Afisa Tehama Wizara ya Maji Nishati na Madini Pemba
Maelezo
Chanzo: Zan Ajira Portal
Tarehe Iliyotolewa: 2023-01-11
Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 20234 ... Deadline: 2023-01-26 15:30:00
POST | AFISA TEHAMA MSAIDIZI DARAJA LA III - PEMBA - 1 POST |
---|
EMPLOYER | WIZARA YA MAJI NISHATI NA MADINI |
---|
APPLICATION TIMELINE: | From: 11-01-2023 To: 26-01-2023 |
---|
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | - Kusaidia kuweka kumbukumbu na taratibu za Kiteknolojia ya kisasa na mbinu za kufanyia kazi,
- Kusaidia kufanya majaribio ya sehemu timilifu za program za Kompyuta (Perform Unit Systems (Module Testing),
- Kusaidia kufanya majaribio ya mifumo ya Tehama (Perform Esting of System Configurations),
- Kusaidia kufanya majiribio ya program za Kompyuta kulingana na mahitaji ya watumiaji (Conducting User Acceptance Test),
- Kushiriki katika kutunza miundo mbinu iliyowekwa ndani ya Taasisi pamoja na vifaa vyote vya Tehama.
- Kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya Tehama vinafanya kazi vizuri.
- Kuhakisha kuwa vifaa vyote vya Tehama vipo katika hali iliyosalama pamoja kutunza taarifa zote za Taasisi.
- Kushiriki katika kuweka mfumo wa akiba wa umeme ili kuhakikisha usalama wa Vifaa vya Tehama ndani ya Taasisi.
- Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka na kuziwasilisha kunakohusika.
- Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
|
---|
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | - Awe Mzanzibari mwenye umri usiopungua umri wa miaka arobaini na sita (46).
- Awe Stashahada ya ICT au Computer Engineer kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali.
|
---|
REMUNERATION | ZPSD-09 |
---|
Click here to Apply
Share via Whatsapp
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
622
Visits
TZS 23,000,000
7006
Visits
Bei Maelewano
16605
Visits
Bei Maelewano
9701
Visits
Bei Maelewano
8335
Visits
Bei Maelewano